Thursday, December 13, 2012

UPANDE WA BWANA

31 Kutokana na hayo, tuseme nini zaidi? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, nani awezaye kutupinga?


Katika mchezo wa mpira wa miguu, kukiwa na upande wa Mungu na ule wa Ibilisi, ni vema kuchagua upande wa Mungu.

Kwenye upande wa Mungu kuna amani, uzima wokovu, neema, na baraka tele.

Ukiokoka unakuja upande wa Bwana.

Ukiwa huko kwa Bwana hakuna jambo lolote la kukutisha. Bwana akiwa upande wetu ni mchawi gani aliye juu yetu? ni umasikini gani ulio juu yetu? ni huzuni gani iliyo juu yetu? ni pepo gani ata kuwa juu yetu? ni freemason gani aliye juu yetu?

Ongeza mambo mbalimbali na utaona kwamba alipo Yehova hakuna kushindwa, hakuna udhaifu nk.

Barikiwa

No comments:

Post a Comment